nimetumiwa message nzuri nyingi watoto wa kike ambao siwajui na wengine wakidai niwatumiae account namba ya benki ili wanitumie fedha,nilidhan mola kanikunia nazi ila kila mtu ananiambia niwe mwangalifu kuwa nitalizwa mimi, mtandao upi wa kijamii ndo wa ukweli na profile inakuwa salama?
we inaonekana ni mfatiliaj mzur wa kina mara krala,saund hadi itiki miez 6 after hapo ni hugs only,yan naenda chuo hadi narudi hajanyolewa mtu afu watu wanapendana kinyama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.