si hao tuu, migodini huku kuna makaburu kibao wanajiita ma-expat wakati hawajui lolote wanakuja kulala na kupewa mishahara mikubwa wakati kazi zote wanapiga wabongo.
mapenzi yangu
HABARI WANAJAMVI.
KUNA HII KITU INAITWA "THE MEGA WEALTH CLUB" NI BIASHARA YA MTANDAONI KULINGANA NA MAELEZO YA AWALI.
TATIZO LANGU: JE NI KWELI HII KITU NI HALISI AU NI DECI YA KISOMI ZAIDI?
The Mega Wealth Club...
ni nzuei ila kama alivosema mama d, ni ngumu maana products zao ni gharama sana.
Si unajua wabongo tunavyopenda bei chee!!!!!!!
BE A RISK TAKER KAMA WW NI MJASILIAMALI.
mapenzi yangu
Mi nashauri wana jamvi A.K.A GREAT THINKERS tuchukue muda kidogo kufanya kautafiti hata kwenye google ili tujue system za migodi na ni muda gani wanaanza kupata faida ili walipe kodi.
All i know is hawa jamaa wanatumia gharama kubwa sana kujenga mgodi mmoja pamoja na machine zake+employees, KITU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.