Kwa makala aliyoiandika jana mimi naona anachelewa kuondoka. Alijipambanua wazi yuko mrengo gani kiasi kwamba ameweza kuwapa gazeti la uhuru leo kichwa cha habari
Naona kuna watu wanapata shida sana wanaposikia Mzee Mtei akitoa kauli kuhusu chama. Jamani tuwe wakweli hivi wakati Nyerere akiwa nje ya uongozi wa ccm na serikali mbona alikuwa akitoa matamko mazito yamkini yaliyowahusu hata viongozi walioko madarakani na hotuba zake tunazisikia hata hivi...
Ngoja ninunue hilo gazeti kwanza maana siamini kuwa ni Mwigamba ninayemfahamu. Huyu akiingia cdm siku hiyohiyo naachana nacho na kadi yao nawarudishia pale ngome
Jamani kwanini kumzungumzia? Yeye mwenyewe alijibu kwenye gazeti la jana lililoanza kutoa habari hizo, tena kwenye taarifa ya habari ya Mlimani Tv akatolea ufafanuzi. Kwa ufupi ''HATAKI'' mbona haya magazeti yanamlazimisha?
Mimi ninawashauri ndugu zangu watangazaji kwamba ingawa mko kazini lakini pia mnatambulishwa kwa imani zenu, ni vema mkaongozwa na dhamiri zenu mfanyapo hayo. Hakutakuwa na kujitetea kwamba nilifundishwa uongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.