Duh umenikumbusha nilipokuwa form 3 wakati huo tuna somo la Siasa shuleni. Nilisimama kuchangia darasani na kumwambia mwalimu kuwa ujamaa ni kinyume na hulka za binaadamu - aisee mwalimu wangu, mzee akaro, alipaniki sana karobu aniadhibu.
Gambo ajifunze siasa safi kutokana na namna mkurugenzi wa jiji alivyolishughulikia.
Kwanza, mkurugenzi amemwita afisa aliyekosea na kumweleza kosa alilofanya. Na hata akamshauri ofisa aombe kwenda masomoni ili aongeze ufanisi wake. Hapa ingekuwa akina Gambo wangemsweka ndani masaa 48
Pili...
Tanzania tutapata demokrasia ya kweli pale CCM itapokuwa na kuachia dhana ya kuwa chenyewe ni chama dola chenye kushika hatamu ya kila kitu na chenye hatimiliki ya taifa.
Tanzania itakata minyororo ya ukiritimba wa mawazo mgando yasiyopingwa na yanayolidumaza taifa, pale itapoelewa kuwa siasa...
Jamani hawa washamba na malimbukeni wanataka kutufikisha pabaya sana. Kwanini wanataka wa control kila kitu? Hawajui hii ni nchi ya watu milioni 55. Dat yenyewe ina watu million 5, yaani watu wengi kuliko wa new zealand wote waliotapakaa duniani. Mji wa Sidney una watu million 4 tu na mabenki...
Unejitahidi, japo dhana yako ina mapungufu makubwa mawili;
1. Kutumia Azimio la Arusha kama mfano bora wa kuweka msingi wa taifa. Hili Azimio ni moja kati ya ma disaster makubwa yaliyolikumba taifa letu.
2. Kusema eti upinzani lazima utokee ndani ya CCM. Kwa ufupi "mtasubiri sana". Pia elewa...
You are the vortex that facilitates the truism of the sentence
"Sooner or later these minds are sucked in by the system and they disappear before they can do any 'irreparable damage'."
You are the herd of cattle that will not transform its environment even if left to pasture for 20 years. You...
What a waste? Akina Emirates wanadeploy ma Dreamliner yao route zilizoenda shule kama DBX-JFK, sisi tunaipeleka Lusaka?
Tukubali tu kuwa hizi Dreamliner zetu tunatakiwa tuzikodishe kwa mashirika yenye hubs na routes. Tuache kupotezeana muda na pesa.
Clouds walishabikia sana Lissu alipomiminiwa risasi. Tena walitegemea angekufa kwa kukosa hela za matibabu.
Tazama Mungu asivyochezewa - Lissu anapona na Clouds wanaomba msaada boss wao apate matibabu.
Lissu na umaskini wake kaponywa na michango ya watu wadogo. Clouds na mapesa yao, pamoja na...
Natamani kujiunga na B7 na mimi niweze kumuambia mke wangu abandike mboga naenda kuleta unga, hata kama nimefulia.
Hivi ukishaandika hivi, unatakiwa uprint na kumpelekea chakubanga ili aidhinishe malipo au ni mkataba wa mwezi kwa mwezi?
Watanzania ni raia wasioelewa kabisa dhana ya serikali. Serikali siyo nchi wala siyo mmiliki wa taifa. Serikali ni chombo kilichoundwa na raia ili kisimamie mambo khadhaa ili maisha ya raia yaende vizuri. Serikali ni mtumishi wa raia na siyo vice versa.
Kwamba raia wetu hawaelewi hili ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.