Ni muda wa watanzania kuchagua watu ambao wataisaidia nchi na si mpaka wapinzani waungane, suala ni nani anachaguliwa, hivyo wananchi wanatakiwa kugutuka na kuchagua 1. chama ambacho wanaona kitawasaidia 2. mtu ambae atakuwa msaada kwao , kwa kuzinga tia haya ccm kwao itakuwa mwisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.