ndo maana jf imegawanyika kama unaona ii mada haikufai unaawaachiia wengine sasa unataka kubisha kuwa mjukuu wa mbua sio staa wa bongo?labda we ndo staa, kweli wale wavaa suruali chini ya kiuno walimpaka na wana jf tuna haki ya kuwakemea ok!
sikilizeni hawa ni wasanii wazuri ila ukiwaangalia muonekano wao huwezi kusita kuwaita wavuta bangi na ni kweli wanavuta sana na ndo chazo cha uswahiba wao sasa bora afande yeye ana nyumba 20% hana hata nyumba sasa cjui itakuwaje make umri nao unakwnda.KUWA SIMPLE HAIMAANISHI UWE MCHAFU KAMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.