Kwa koment zako mkuu kama huyu jamaa hajakuelewa naomba nishauri kuwa kwanza kama ni muumini wa dini yeyote aende akafanyiwe maombi au dua ya kuweza kumuepusha na huyo ibilisi aliyemvaa huyo binti na maombi au dua yenyewe yawe ya kumuachanisha nae, kama sio muumini basi akawaone wataalam...
Kwa koment zako mkuu kama huyu jamaa hajakuelewa naomba nishauri kuwa kwanza kama ni muumini wa dini yeyote aende akafanyiwe maombi au dua ya kuweza kumuepusha na huyo ibilisi aliyemvaa huyo binti na maombi au dua yenyewe yawe ya kumuachanisha nae, kama sio muumini basi akawaone wataalam...
jamani huyo si alikuwaga soja? Inakuwaje soja anajiachia mwili hivyo? Jaman tuzingatie mazoezi japo mara mbili kwa wk, sasa unakuta mtu katembea sana kwa miguu ni mita kumi mda wote kwenye gari akitoka hapo ni kwenye sofa lzm miguu ielemewe na mzigo kwa nini hawaigi mfano kwa mzee Ruksa?
aaahh jamani nyie hamjamuelewa huyo! Yaani anataka mumsaidie kuliponda gazeti husika ili a-conferm kama yuko sahihi ktk mawazo na maamuzi yake! Lkn ananikumbusha huko kwetu nilikokulia kulikuwa na chizi mmoja alikuwa kila akiudhiwa anachukua chupa ya soda anaanza kuiponda ponda tena anafanya...
bana hebu acheni kuzingua MJESHI halafu anaulizia habari za taratibu za kununua silaha?
Huyo hayuko siriasi anataka kuzingua kijiwe bwana na bahati mbaya hii siyo sehemu ya kujipaisha! Kwa bongo yetu ukishakuwa mjeshi unaheshimiwa hadi na vibaka ukitaka kuprove hilo jaribu kuvaa kombati...
manuu uko sahihi kabisa ndg yangu hawa watu pesa kwao ndio kitu cha kwanza hawaangalii hata kipato cha mtanzania wao wanadhan wote waendao kwao ni mafisadi wako sahihi sana kusema madawa ya kizungu mengi ndo yaongezayo magonjwa na kwa kigezo hicho wanafanya jitihada nyingi kutueleza madhara...
Umeona Angel eeehh! Walibya siwaombei mabaya kwani si kosa lao kwani walikuwa na uwezo wa kufanya kama wenzao misri na tunisia lkn hawakufanya hivyo malipo yake ndo yameisha anza tena mapema sana!
Yap hiyo mwana imekaa sawa ila kwa sababu ya mambo ya kiteknolojia na utambuzi wa mambo ya mbali utakuagiza na ungo wa DSTV ukiwa full na Samsung TV inchi 32 ili aweze kukuonesha kwa urahisi matatizo yako!
Ntaanza na kumpeleka chumbani tujadili hasa juu ya kilichokuwa kimefichwa ndani ya kanga na mjadala huo utakuwa unaendelea huku tukiwa mafichoni fulusuti!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.