Kuendelea kumuacha ni hasara kwake mwenyewe, kumuondoa nikumpa credit. Ni jukumu lake sasa amuondoe au amuache aendelee kumuharibia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa na nia njema asingekana mzigo tokea awali, Kauli zake za awali zinatia shaka na kuharibu dhana nzima ya msaada aliosema baada ya kubanwa.
Video hiyo hapo chini ifuatilie kwa makini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katibu wa Chadema Dar es salaam Kuu Ndugu Henry Kilewo amenukuliwa kwenye pages zake za Mitandao ya Kijamii akisema Wanaosaliti mageuzi wageuzwe kuwa maadui,Nimeweka nukuu yake hapo, Kama members hii ikoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika Ukurasa wake wa Twitter Katibu wa Mkoa wa Dar as salaam (Greater Dar es salaam) wa Chadema Ndugu Henry Kilewo ameandika atataka Milioni 17 za Wamasai zirejeshwe kwakuwa Ng'ombe wao walipigwa Mnada na hawajapigwa faini kama hapo awali walivyokuwa wamekubaliana Ila Baadae wakageuziwa Kibao...
Haya ni mambo ya msingi sana kwa ustawi wa haki na amani ya nchi yetu, ulazima wa kuboresha daftari hilo ni mkubwa sana kuliko wanavyodhani. Ni lazima tuliboresha sasa ili kila mtanzania mwenye haki ya kujiandikisha ajiandikishe kisha ashiriki kwenye jambo hilo la msingi la nchi yake.
Mkuu.
kitendo cha kumshambulia mtu sikitendo chema hata kidogo, unasema (uelewa mdogo wa siasa za henry kilewo ndani ya chadema na ndoto zake) neno hili hukunyambua ukaliacha likasimama kama lilivyo kwa maana hiyo basu umeamua kumtusi Kileo? Hapa nitapinga na wewe sana juu ya siasa za kileo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.