Sio mbaya kama unaamini zito ni mzito but chadema sio zito ukae ukijua even mnyika jina lenyewe linakuutisha sema mmMNYIIIKAA alafu sema kiikweete jina lipi dhaifu jaribu kumuliza mwanao wa darasa la 1 atakuambia jina lipi dhaifu
Ipo siku atatemeshwa mpaka nguo ya ndani hakunaga mtereko katika ulimwengu huu ukipata kirahisi ujue kupoteza ni kama upepo tena asishangae na kitanzi kikawa ndo kifo chake siku mageuzi yatakapofanyika
mbona unaandika maruhani wewe kama yeye sio dhaifu na kiongozi wa nchi mbona hajui kwanini nchi anayoiongoza maskini????
He and his goverment is totaly lazy, week, not with vision onyl rely on cheap things.... you know wat they are doing sina ulazima wa kuandika maroroso yote ya CCM chama cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.