Ukikosa hata hiyo buku mbili.....unachukua ''ndimu/Limao'' unaikata katikati kipande kimoja unakisugulia kwapa moja na kingine vivyo ivyo...... unapotaka kuoga asubuhi harufu mbaya inaisha na majotro hayata kuwepo ''all day long''
Kwenye RED...Naomba zingatia yafuatayo my dear Lizzy
Kula ya kulazimishwa kweli?-Nenda kawaulize wasomali kule somalia.Inakuwa ya kulazimisha kwa wale wenye uwakika tu wa kesho atakula.
Mavazi nayo watu wanapenda kweli?ndio maana kuna fasion na style kweli?-Nenda kijiji ''interiors'' singida...
Katika ulivyo'ainisha hapo juu....lazima uweke tofauti kati ya ''human needs'' na ''human wants''
1.Kula si kupenda.....ni ''necessity in life''-usipende kula uone unavyo''dhoofu''
2.Pia, level of ''income and life style''-Kuvaa,mazoezi,kulewa,kuogelea kwa watu wengine si vitu vya...
MUHIMU SOMENI YOTE WAPENDWA............MANENO MENGI YANATIA UVIVU BUT ''U WILL GRASP SOMETHING OUT FROM IT''
I agree with Dan Allendar when he says that, Sex is volatile and it was meant to be. For guys, when we are getting regular sex the world is as it should be and we are the...
Kijana ebu jaribu kutazama/kufikilia nje ya box....yale ambayo wewe unaona kinyaa kwenye mapenzi unaweza ukakuta ndio yeye anayapenda.....Jaribu kumwandaa kisaikolojia...wanawake wote regardless age na kipato uwa wanaishi kwa hisia.....tafuta muda mwingi wa kumwandaa usikimbilie tu....kale...
Kwa hili sitashangaa kuona huyo mwanamke analudi kwa jamaa yake...wewe akikuacha solemba..
Ujue kuna baadhi ya wanawake anaweza akawa na wewe ili kupooza moyo wake ama kumlipizia mwanaume wake aliyemfumania....
Pia anaweza akawa amekuja kwako just kwaajili ya Kuchukizwa na mwenzake(Boy),sasa...
Mkuu pole sana....mimi ninataaluma ya Bank.....nilishafanya kazi katika ma'bank makubwa hapa TZ na nje.....
Kwa Jinsi Tanzania kiuchumi ilivyo.....kukopa Bank ni Hatari sana haswa pale unapotaka kuanzisha Biashara(Venture capital)
Lakini kama unataka kukopa kwa kuongezea/kutanua bihashara ni...
Ahahahahaha nimecheka sana hapo kwenye RED.
DCM a.k.a ''Gobore'' haziwezi kuondolewa kabisa....the same way kwa hizo bajaj na Boda Boda.....ni kauli tu hizo bila actions.''Poor Sumatra''na mipango mibovu.....ivi kuna watu wanakaa na wanalipwa kwa kufanya maamuzi kama haya?
Ningewaona wajanja...
Wastage_'my time kweli kweli kufungua hii thread na kuisoma...........utumbo mtupu period!
Sijui unamaana gani?JF Umeiona mziki wa bolingo kutaja taja majina ya watu?
Anzia kuwaambia hao wenye ma'blog yao ya kazi(Wanaoweka ma'link' tu........wamepewa nafasi bure ya kujitangaza kupitia JF ya bure wanatumia vibaya mbona sijaona ''thread'' ya hao wenye ma''blog'' hata ya kusema ''asante JF''....
Hata maelezo hawaweki,wanaweka kichwa cha habari''kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.