The joy band live music, ina kukaribisha na ipo tayari kuku hudumiya wewe kama una hotel, club, bar au sherehe ya aina yoyote kwa bei nafuu, tuna piga muziki wa aina yoyote: Zilipendwa, rhumba, jazz, country, chacha, charanga, salsa, bolingo, reggae n.k huku tukiwa live.
Tuna patikana dar es...
Habari wana JF. Mimi nina Bendi ya muziki na napiga muziki (live Band) kwenye ma Hotel. Natafuta waimbaji wa kike wawili kwaajili ya kuongeza nguvu kwenye bendi. Bendi ipo Dar es salaam lakini wakati mweingine tuna enda kupiga mikoani hasa Arusha na Mwanza.
Aliye tayari anipigie simu 0782555519...
Habari wana JF. Mimi nina Bendi ya muziki na napiga muziki (live Band) kwenye ma Hotel. Natafuta waimbaji wa kike wawili kwaajili ya kuongeza nguvu kwenye bendi. Bendi ipo Dar es salaam lakini wakati mweingine tuna enda kupiga mikoani hasa Arusha na Mwanza.
Aliye tayari anipigie simu 0782555519...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.