Leo nimeyaangalia maandamano ya wasanii Wa mbogo nikasikitika sana..yaani Ina maana wasanii Wa bongo movie hawajui ni kwa nini movie zao haziuzi au kuna agenda nyuma ya hii movement yako..
Mimi binafsi ni mpenzi sana Wa filamu tokea miaka ya tisini enzi za vibanda umiza .enzi hizo hatujua bongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.