Nadhani nikujipanga aisee na mazoezi spesho, kupunguza weight ni kazi sana. Belly fat ni ishu. Hongereni mnaowezea. Hii Jumapili iliyopita nilibahatika kupita kiwanja kimoja cha mpira asubuhi...wengi wa wachezaji ni above 35, na wanauweza mpira...ila sasa vitambi dah.
Kaeleza hayo akihojiwa na mwanahabari wa ESPN, ndio maana akaamua kuwa the toughest in the world/ alifanya siri akihofia watu kum-judge. Baba huyo wa watoto 8 anasema it made him no less of a man. (Haijampa mapungufu kama mwanaume)
Huko Indonesia, jamaa alinaswa pembeni ya mto akiogelea na mamba huyo naakapotea nae,ndugu wamemtafuta wakaamua kumuita mganga. ambae alifanya vitu vyake na baadae watu wakashuhudia mamba anarudisha mtu wao (mfu) cc mshana jr . mamba huyu ni wa maji chumvi, Hawa mamba wa maji chumvi hufikia...
Best foot forward! Lupita Nyong'o stuns in shiny gold dress with thigh-length split at CFDA Awards
Lupita Nyong'o showed off her flare for fashion Monday night in New York.
The actress, 38, arrived for the CFDA Awards in a stunning gold dress with a sash at the neck and a thigh-high slit.
The...
Achana na wale ma-air hostess wa ethiopian airlines. Hawa pia ni waethiopia wa kabila la Hamar, na hii ya kuchapwa inaitwa Ukuli Bula. It might make sense, that some baes need a little beat up....
Au ni sababu za kiusalama. Mtuhabarishe wateja wenu, shuguli zetu za kujiingizia vipato zinakwama kutokana na hali hii. Si upande wetu tu walipa kodi, hata huyo mkusanya kodi pato litapungua.
Inavyosemekana wanawake wengi hutumia poda au talc, na nguvu ya matangazo yanayowalenga hasa wanene, kupaka maeneo ya siri. Huyu mama alikua akitumia poda hiyo badae kaugua kansa na kuwashitaki Johnson & johnson baby powder. Wazee wa baraza (jury) wameamuru alipwe dola milioni 70 kama fidia. Ni...
Asa kama mabilionea pia wanashindwa ku handle mizinga.....kunakuchekana kweli hapa, dharau, kubezana...tunayo yashuhudia humu kwenye jamii yetu. Eti kuambiwa kama huna hela kaa pembeni.
Hata mizinga iwe ina limits bana!!
'It's all over': James Packer 'DUMPS' fiancée Mariah Carey over...
Icheki hadi mwisho video....ingawa ni swala la afya kwa wanaume ukishafikia umri kuanzia 40, hapa nadhani nia yao ni kuhamasisha upimaji. Ila sidhani kama huku kwetu anaweza kutokea comedian aka dare hiyo joke!!! Hahaha
Kunyonyesha hadharani kwa wenzetu weupe nadhani huonekana kama ndio sivyo, lakini kina mama weupe wamekua mstari wa mbele kupinga hali hiyo na hivyo wameamua kulishikia bango vizuri, mama ni mama bana nani hajanyonyeshwa kiasi aone aibu kumuona mama akinyonyesha!!!, niwachache nadhani.
Yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.