Serikali yaanza kulipa madeni link hio hapo chini
:: Serikali Yaanza Kulipa Malimbikizo Ya Madeni Ya Walimu Na Zaidi Ya Shilingi Bilion 32 Tayari Zimetolewa
Wewe una uhakika gani hana hoja ya msingi inayofanya asiunge mkono uchaguzi urudiwe?
Hela za matumizi ni walizoomba toka bajeti iliyopitishwa na bunge mara ya mwisho kikao cha bajeti kilipo kaa bungeni, so bunge lilisha shirikishwa ni pesa zilikua hazijatolewa
Kwani lazima wao na majaji...
hizo pesa zinanunua madawa ambayo yanatumika kutibu wakulima huko kijijini akaweza kulima ukapata chakula, zimelipia ellimu ambayo itapunguza watu wasio na elimu tz na kuweza kupata ajira wakaja kukuibia mali zako na kifaa unachotumia ku post huku jamii forum
magamba yenye nyota ni ya wakati wa sherehe
katiba inasema kutakua na raisi wa jamuhuri ya muungano
Na raisi atakua amiri jeshi mkuu, mkuu wa serikali, na mkuu wa nchi
kumuondoa uamiri jeshi mkuu inabidi utumie njia zinazotumika kumuondoa raisi,
mwezi disemba kurugenzi wa hazina alitoa taarifa kua wanapitia mikataba ya viwanda vyote vilivyopo kujua kama vinaendeshwa kama walivyokubaliana na serikali..
hiyo nayo ni hatua inaitwa ku asses situation kabla ya kuingia deep kwnye kutafuta ufumbuzi..
Tar 22 disema naibu waziri ofisi raisi...
Tra imekusanya jumla ya trilion 1.4 mwezi disemba ambapo ni tofauti na kawaida ya makusanyo ya mwezi ambayo yalikua bilioni 900 kwa mwezi
Hi ni sawa naongezeko la bilion 500
kaimu kamishna wa TRA Alphayo Kidata amesema imetokana na raisi Magufuli kubana wakwepa kodi, na mianya ya wa kwepa kodi...
hao watumishi wa TRA na TPA ndo wawataje hao wafanya biashara wakubwa na wenye makontena na watoe ushaidi wa kuweza kuwashika na kuwafungulia kesi za kuwalipisha kodi walizokwepa na faini juu hao wafanyabiashara wakubwa, bila wao kutoa ushirikiano au ushahidi kwa vyombo vya dola hutaweza mkamata...
Ujue kulikua na mabadiliko mawili mabadiliko ya UKAWA na ya Magufuli.. Magufuli alikua na Magufuli 4 change.. so watu walikua na kazi kuchagua ni yapi waungane nayo ya Magufuli au ukawa.. so kuchagua yoyote yale uliyokua unayaamin ni ya kweli inamaana ulikua una ya amini ndo yenyewe amesema...
Mkuu Uchambuzi mzuri, nilikua na wazo pia lakuleta uchambuzi kama huu, ila umeshaleta, vizuri sana mkuu, kilichobaki ni wao kunywa wakikataa ujinga wao
Jamaa si kashasema sio Makonda ni msaidizi wa Ngowi, kwasababu ameongea nao wakamwelezea.. kwa hiyo gazeti kusema ni Makonda ni uongo, je kwenye hiyo picha unaweza thibitisha au gazeti kuthibitisha ni makonda anamfunga riz1 kamba?
Hiyo ya pili ni makonda amembeba riz1 so what? Ni lazma na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.