kama kingamuzi chako kinaonyesha local channel tu inabidi ukalipie ili upate matangazo mengine vizuri, kama unapata channel chache inabidi ulipie zaidi, mfano kuna channel za sh. 9000/- kwa mwezi, 18,000/- na elfu 36. hapo utapata channel zote zinazotolewa na star times, kama picha zinakwama...
Haya nimeyaona, unajua tuliopo kwenye ndoa maranyingi tunapata shida sana pale unapokuwa na mke halafu muda mwningine anakufanyia makusudi, mfano toka ukiwa kazini mfano umempigia simu na kumtaarifu jambo lako...na bila sababu jioni unajua utapata,ikifika muda anaanza kuleta shida mara...
karibu kwenye ndoa.....shikamana na mwandani wako....ndoa ni nzuri, ila ni vizuri ukaishi kwa kufuata mipaka ya ndoa utaipenda na kuona maisha ni mazuri lakini ukitaka uishi kama ulivyoishi ukiwa bachelor ndoa itakushinda.....
Vitabu vitakatifu vilishatabiri haya..... sayansi tueke pembeni.... Itafikia wanawake 10 watang'ang'ania kuolewa na mwanaume mmoja ilimradi waitwe kwa jina la mwanaume..... hata sasa tunaona wanawake ni wengi na wengine wanalalamika kutoolewa ......wakubali tu kuolewa mitala....
TATIZO NI DOGO Hilo kula matikiti maji na tafuna megu zake.. usiteme.... kula robo tikiti mara 3 kwa siku .... baada ya siku kadhaa utapata majibu.... kula karoti kwa wingi na fanya mazzoezi kwa wingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.