Dawa kuwapeleka mahakamani tu. Hapa nasubiri kwa hamu nione ndani ya huo mwezi kama wanatuhamisha kwa mwajili halali au la. Haiwezekani mtu unaenda Maternity Leave wanakunyima mshahara! Ukiomba likizo unapewa wiki mbili, siku zikipita mwaka zimepotea wakati sheria ya kazi inataka siku za likizo...
Unajiskiaje pale mwajili wako uliyemfanyia kazi kwa zaidi ya miaka mitatu anakukata hela yako ya NSSF, anapokurupuka na kukuandikia email kukuuliza kama una "NSSF number" na umtumie ASAP ndani ya wiki 2!??
Yaani kutokana na mahusiano mazuri kati ya PPF na Mtibwa, PPF wakaamua kuwalipa vibarua wa Mtibwa? Embu fafanua hapo, haya yalikua ni malipo ya pensheni au mishahara? Na hizi hela milioni 200 lilitolewa tu fungu kwa huyu meneja akagawe bila kua na list ya vibarua wanaotakiwa kulipwa?
Maeneo ya ibada (Miskiti na Makanisa) yanaweza kuuzwa lakini si kwa tenda kama ambavyo PPF wanafanya! kwa mfano mimi nikiamua kununua kiwanja hicho kilichotengwa kwa ajili ya msikiti, nikaujenga inamaan utakua ni wa kwangu badala ya waumini!
PPF walitakiwa waorganize na wakazi waliowauzia...
atasema nini zaidi ya kubisha kwamba sio yeye! scandal nyingine ngumu kupunch. Mi namlilia tu huyu mdogo wangu Eliza she is so young and immature alafu mijanaume haichelewi inatake advantage aaargh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.