wajiandikishe tu wakafe ili tupungue maana tumezidi mno, na wakifa wafe kweli maana watakuwa wamekufa kwa ujinga wao, mkutano siyo wako unaenda kufanya nini kama si kufanya vurugu, tena hawa wasiwakamate wawapige kwelikweli maana ni majambazi tu na wala siyo wanasiasa hawa.
hivi ninyi humu kwnye jf ndiyo mnajiita wananchi mnasahau kuwa ninyi hamfiki hata 2% ya watanzania wote, aliyesema UKAWA wanapotea, kweli wanapotea tena si mbali sana.
kifo cha ukawa kipo mwezi wa nane Lipumba akirudi CUF, ingawa hadi sasa wameshachanganyikiwa mara naibu spika, oh mara magufuli ataleta machafuko, oh mara tutafanya tu mikutano, yaani hawana jipya tena hata ukiwangalia usoni wanapoongea wamepoteza matumaini kabisa. UKAWA mtu makini kabaki Tundu...
huna lolote, ya Zanzibar kawaeleze wa Zanzibari au kasome katika yao uielewe na siyo kuropoka humu, kila kinachofanyika kina sheria na taratibu zake, kama walishindwa kurekebisha katiba kwa kulewa posho za ubunge, leo uchaguzi unafika unasema tume siyo huru, na kuibadili kabla ya uchaguzi...
MTAHANGAIKA SANA LAKINI HAMTAWEZA KUFANYA LOLOTE, ENDELEENI KULA PESA ZA HUYO MZEE WENU WA MONDULI. ILA UONGOZI WA NCHI HII MSAHAHU KABISA. ENDELENI TU KUWA WAPINZANI ILI MHAMASISHE MAENDELEO SERIKALI INAPOSINZIA MNAIAMUSHA. NIWASHAURI KITU, FANYENI KITU MTAKUJA SUTWA NA WATOTO WENU KUWA MLIKUWA...
Kama kura zitapigwa kwenye mitandao ya kijamii Lowassa atashinda lakini kwenye masanduku ya kupigia kura yanayosambazwa kwa sasa, Lowassa hawezi kushinda kamwe, YATUNZENI MANENO HAYA TAREHE 27/10/2015 MNISUTE HAPA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.