Naomba msaada wa kujua hospitali hapa Tanzania wanaojishungulisha na kutoa huduma ya kupima vinasaba.
Pia ningependa kujua haya yafuatayo,
- Utaratibu wa kufuata ili kufanya vipimo
- Gharama za kufanya vipimo
- Time frame ( muda gani kupata majibu) n.k
------ Michango ya wanaJF-------...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.