Mshukuru Mungu kwamba una mke mzuri tena mwenye msimamo. Pole sn kwa tukio. Nafikiri kuondoa tatizo hili ungeitaja tu taasisi husika ili ifanyiwe kazi. Wangejichuja tu mpk wamgemtoa huyo anaewachafua. Kaka weka hadharani mi nawapenda sana wa2 kama hao, tunawachafua kwenye 'wall' yao mpaka waache.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.