Search results

  1. mtaalamuna84

    Pwani: Wawili wahofiwa kuuawa kwa risasi Kibiti, idadi ya Waliokufa inasikitisha, sasa yatosha

    Shida ipo kwenye intelejinsia hata wakienda hao unaosema nadhan wataumia zaid watu wasio na hatia
  2. mtaalamuna84

    Naomba jingle ya magufuli woyoooo

    Wakuu kuna kale kajingle fulani ccm wanakatumia kwenye mikutano yao kanaimba hivi magufuli woyooooooooo mimi nakahitaji wakuu naomba msaada mnipatie wenye nacho
  3. mtaalamuna84

    Msaada please mtoto mzito wa kuelewa na mwepesi wa kusahau

    Au wanaitwa vichwa ufuto kwa jina jingine hata mimi nina tatizo kama hilo lakini alhamdulillah niko university sasa hivi
  4. mtaalamuna84

    Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

    Mpaka sasa hivi bado najiuliza ni kitu gani walikua wanahisi Nape ataongea mpaka nguvu kubwa kiasi kile itumike kujaribu kumzuia??? Tusaidiane wakuu
  5. mtaalamuna84

    Stamina vs songa..Kuna mtu kakalishwa

    Hv mnaposema uchi wa mnyama mnaanisha uchi wa TID? Hapa alinikosha
  6. mtaalamuna84

    Njia bora ya kudai deni lako kwa mtu uliyemkopesha

    Amehama na chuo kabisa yupo mkoa mwingine ndio ukakasi unapozidi hapo
  7. mtaalamuna84

    Njia bora ya kudai deni lako kwa mtu uliyemkopesha

    Kpnd anakuja kuniomba alinieleza kwa kutia huruma mpk kidume nkaona isiwe tabu wacha nimsaidie ndugu yangu baada ya wiki tu atanilipa ***** mpk miez 6 hmn kitu
  8. mtaalamuna84

    Njia bora ya kudai deni lako kwa mtu uliyemkopesha

    Kuna ng'ombe mmoja ana hela yng zaid ya miezi 6 sasa na kaniblock whatsapp wala simu yangu hapokei
  9. mtaalamuna84

    NECTA na usumbufu wa kupata matokeo

    Halafu wameweka namba tuu bila majina
  10. mtaalamuna84

    Kipigo ndani ya kambi ya jeshi chadaiwa kusababisha kifo cha konda wa daladala

    If uchawi upo ningeua kila aliehusika na hilo tukio kwa uchawi tukachomwe wote tu mbingun [emoji48][emoji48][emoji48][emoji34][emoji34][emoji34][emoji24] hii dunia ukiwa mnyonge kwa kila kitu utaonewa tu kama huna nguvu wala pesa kuwa mchawi nakwambia
  11. mtaalamuna84

    Kipigo ndani ya kambi ya jeshi chadaiwa kusababisha kifo cha konda wa daladala

    Mkuu tukizungumzia kitendo kilichofanyika hapo nguvumal tanga sio cha mwanajeshi mwny nidhamu wala aliekamilika inauma sana unajua
Back
Top Bottom