Habari wanajamvi
Kuna jambo nimekua nikisoma katika vyanzo mbalimbali. Kuhusu suala zima la watoto.
1. Je, watoto ni Baraka ama ni Sadaka? Hapa namaanisha ukizaa watoto wengi utakuwa na baraka nyingi kwamba kila mtoto anakuja na riziki yake wakiwa wengi utakuwa tajiri? Au ukizaa watoto wengi...
Nilivyokua msichana nilikua nawaza mahusiano yangu vile yatakavyokuwa.
Nilikua najiambia tutakua tunavaa sare mimi na mke wangu na watoto. Kila mwezi tunapita picha nzuri.
Weekend moja moja tunatoka sisi wawili tunaendesha gari tunaenda popote. Tunaenda tunaenda tunaendaaa hadi tukichoka...
Hii ndio inaitwa kugawana majengo ya Serikali. Kuna kipande cha video niliona mwanamke anabutuliwa anang'olewa nywele kabisa nikajiuliza hivi huyu hawezi kujitetea kabisa? Hata jiwe karibu hakuna ampasue nalo usoni?
Kwenye kujitetea huishia pabaya ila poa tu.
Nikionaga comments za hivi nahamasika kutafuta Pesa zaidi ili nisilazimishwe kuongea hiyo lugha ya Malkia. Kiingereza kimenishinda kabisa na Shahada yangu niliyoipambania kwa jasho na kamasi.
Wewe unayejua ungeleta unachojua tujifunze. Kajitanabahisha ni nahodha wa majahazi. Wewe unaleta maswali ya darasani kama unamuuliza Mtafiti wa wa baharini.
Jiulize haya Maswali kwanza.
1.Hao mawaziri wote walioshinda wameingia lini bungeni na wamekua mawaziri kwa kipindi gani?
Halafu linganisha na muda alioingia Mwakyembe na muda aliotumika kama Wazidi na Naibu Waziri.
2. Muulize yeye Mwenyewe Mwakyembe, ana kipi cha kuelezea kama mafanikio kwa...
Tabia za mkikorofishana mnavamiana mwilini ni nini lakini?
Kumchoma kabisa na kitu. Ila anaweza kuwa huru mbona Rhoda Daudi alimtia kisu Geoffrey na sasa anapeta mtaani na kutukana watu mitandaoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.