Kuhusu kanumba inawezekana maana hata mie nilikua na hisia hizo, ila yeye kanumba aliwahi kukanusha mara kadhaa, ingawa hatutarajii akiri ikiwa hata jay - z aliwahi kukanusha licha ushahidi ulio wazi kabisa
dunia imekwisha wandugu
Tendo hili lina majina mengi , kulingana na wanaolifanya, linaweza kuwa uzinzi,uasherati, kama si kwa wanandoa halali, lkn kwa wana ndoa nadhani jina sahihi ni kujuana
Tendo hili lina majina mengi , kulingana na wanaolifanya, linaweza kuwa uzinzi,uasherati, kama si kwa wanandoa halali, lkn kwa wana ndoa nadhani jina sahihi ni kujuana
Jamaa mmoja alirudi kutoa kazini ma mkewe kwa hasira akaanza kumuuliza
mke: Enhe, haya sema ulikua wapi leo siku nzima.
mume: Nilikua ofisini,
mke: mbona ulikua hupatikani hewani muda wote,
mume kwani nani kwakwambia ofisi yetu iko hewani, na kwanza
ulifikaje hewani wewe
Kwanza nawasalimuni. naomba nisionekane nimepitwa na wakati kwa kuchangia mada kumhusu huyu mzee. ila kutokana na maoni mengi ya watu nalazimuka kutoa maoni yangu. Wengi, hasa watu wanaodhani wanayajua maandiko ya biblia wamemshambulia sana babu. Hoja kuu ni kwamba
moja kwanini atoze fedha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.