Naongezea hapa , hizo ndimu au limau si lazima ziwe fresh.
Unaweza kutumia zile ambazo zimeshatumiwa kwenye matumizi mengine kama kwenye vitoweo, kachumbari na nyama choma. Yaani kinahitajika pale ni ile asidi iliyomo ndani ya hizo ndimu.
Kama hana siki,atumie limau au ndimu ,akatekate vipande vidogo vidogo aviweke ndani ya jagi pamoja na maji achemshe. Baada ya hapo aache kama dakika kadhaa kuanzia nusu saa na kuendelea , halafu asafishe kwa brashi.
Mkuu umeleta maelezo marefu na picha za mtoto Hope aliyeokotwa Nigeria, unashindwaje kuleta maelezo a picha za mtoto wa Kihehe Penina wa hapa Pawaga Iringa?
Kuwa na siku njema mkuu.
Jamaa kapiga kibiriti kichaka naona mijusi washaanza kutoka upande wa pili.
Sasa ni hivi hilo chaka kadri linavyoendelea kuteketea, angalia kuna vichuguu vina mashimo na wengine mumsaidie kumwagia mafuta ya taa au petrol kwenye hayo mashimo ili Majoka makubwa yaliyojichimbia humo yatoke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.