Aisee we jamaa ni bure kabisa, sasa majina Kama haya na ukabila wapi na wapi? Wewe huna Kabila au? Tanzania tuna mama ila hatuna ukabila Acha ushamba. Imenisaidia mimi nilikuwa natafuta jina la mtoto wa kiume na nimelipata we Nenda katumie ya kidhungu hakuna anayekukataza. Kwetu wengine...
Kaka umenigusa sana nimeshakaribia gombana na marafiki zangu juu ya Lulu, tumwache mahakama ifanye uchunguzi na naimani She is innocent kwani hajampa sumu labda katika kujiokoa ikawa vile. Mungu Atampigania kwani yeye ndo mpanga tarehe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.