Balozi wetu tunamshukuru sana kajitahidi sana mpaka kuweza kupewa Siku tano ili tuweze kutoka na pia yupo karibu sana na watanzania .kwa kweli tunamsifu sana
Uliongee sana usilolijua.hapa ukitoa passport yako wanaichukua na kuichana kisha wanakupeleka kituoni ukifika pale wanakuuliza passport iko wapi so utasema nimewapa police walionikamata au sio?police anakataa anasema mm nimemshika hana passport na police akisema lolote ni kweli kama...
Jamani jamani hali sio hali wilaya ya montepuez kuna JAMAA sasa ivi akitaka kunyanganywa gari lake na police lkn akawabia hii sitoi ni nimgaie muuza vocha kama mzaha tu JAMAA kampa kadi na funguo za gari yule muuza vocha na kumwambia nimekugaia gari iyo mbele ya police.oneni hali ilivyo nafikiri...
Kwanza niseme kitu iyo habari IPO lkn IPO wilaya ya montepuez mkoa WA cabo delegado.pili Boda Boda hazijafungwa ila bars bara kuu ya kuelekea wilaya ile ndio kuna get I za police nyingi kuliko kawaida.tatu balozi tayari kafika na Jana Pemba na kuonana na uongozi WA serekali na baadhi ya...
Nafasi ya sita kutoka hapo no mpaka tupate majeshi WA ECOWAS waliomtoa yahya James Gambia hhhhhahaha heko man u kwa kuzuiya kiwanja mpaka MWISHO WA msimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.