ha ha ha ha ha e e e e waambie waache umbea,utafikiri thread zote wanazoziona hapa wanajua ni za kweli. Komaana nao ala!za kwako tu ndo za kutunga?? Ha ha ha wananichekesha! Mie
aise muliotajwa hapo mwacheni N4G
Kweli kuna faida ya kuwa kapera maana hakuna kufumania wala kufumaniwa kila kitu ni kwenda kama unavyotaka matumiz pia yanapungua subiri nikamfukuze mke wangu nikae peke yangu ili nijenge gorofa
Mi niko na shughuli nying. Mpaka sasa sijapata ushauri unaofaa ma great thinker mpoo? Musiniangushe bana
samahani ikieract ndo nch 13.5 na unene ni cm 8 sitanini wajameni nisaidienia
nimekua nikivaa kufuli za kubana lakini nikikaa na bana miguu mana nikiachia2 naonekana nimefungasha
huwa...
Naomba munisaidie ni fanye nini ili nipate mke?
Mimi nimekuwa nikitafuta mke kwa miaka mingi sasa ila cha ajabu kila mwanamke ninayedo naye huwa analia sana.nilizani ni kwa7bu ya raha anayopata ila nilikua nashangaa sana kwa7bu kila niliyelala naye sikufanikiwa kulala naye kwa mara ya pili...
Kwakweli cha kufanya mchue leo hii hii mwende akapime kama ni yakwako kweli utajua 2 maana itakua haina hata mwezi ukiona inamwezi na zaidi ujue ulikua unabebeswa mzigo usio wako
Kwakweli cha kufanya mchue leo hii hii mwende akapime kama ni yakwako kweli utajua 2 maana itakua haina hata mwezi ukiona inamwezi na zaidi ujue ulikua unabebeswa mzigo usio wako
Ha ha ha wewe hebu mwache mtoto wa wa2 hii ishu imenikumbusha mbali kweli!.. Wakat 2kiwa 0level kuna kaschana kalikua kanamzia rafikiangu kakawa kanamfuatafuata 2kamwambia jamaa akatie mimba ili kakome gelfriend wake pia alishiriki kumdanganya jamaa. Jamaa akafanya kweli ile...
ni kweli kabisa lokisa lakini watakaaje tena ofisi mmoja? si watakua hawapatan na mwenzake? Isitoshe shughuli zao zinaingilia si wataharibu utendaji wa kazi?
yaaa bosi alishawahi kumuonya lakini alimuambia kwamba nitakubadilishia nikupe ya kufukuza izi ofsini kama hiyo huwezi. Sijui ataanzia wapi kwenye vyombo vya sheria maana baada ya kumwambia mume wake kwamba amefukuzwa kazi mume wake amemfukuza nyumbani sasa anaish kwa ndugu zake
Habari zenu wandugu wa jf! Juzi boss we2 kamfukuza mfanyakazi mwenze2 kazi ni sawa? Kwa kifupi huyu mfanyakazi alimpigia sm mume wa mwenzake wanaofanya kazi secta 1 ofis 1 na kumwambia kwamba et mke wake anatembea na mume wake. Maskini jamaa akapatwa na hasra na kumpiga mkewe mpaka akazimia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.