Dah imenishika jamii kubwa hasa ya Kitanzania hasa wenye elimu ya kutosha wamekumbwa na jinamizi hili je, tufanye nini ili kuepukana na janga hili lenye kupumbaza akili ya wengi bila kujali thamani zao?
Mc!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Nafikiri ni vyema kuchunguza zaidi ili uweze kufanikisha lengo kulinga na mtaji mdogo uliyo taja pia ukubwa wa mtaji hutengemea zaidi aina ya biashara na mazingira husika.
Mc!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Dear Friends,
The meaning of life is a philosophical question concerning the significance of life or existence in general. It can also be expressed in different forms, such as "Why are we here?", "What is life all about?", and "What is the purpose of existence?" It has been the subject of much...
Kuna mwanafunzi mmoja alikua ni mpemzi sana wa masomo lakini tatizo likawa ni moja tu! Kuna jamaa mmoja alikua amemganda kishenzi kisa mpenzi wake wa long time dada ni mwanafunzi wa Sec school: Alitafuta sana kuachana nae lakini ujanja ukamwishia basi akaamua kumwambia Bibi yake maongezi yalikua...
Shukrani nilikuwa na hitaji kupata victim kama mimi ili nipate nguvu na sehemu ya kuanzia tafadhari naomba nipigie simu ili niweze kufikisha swala hili kwenye uongozi wa juu NBC kabla ya vyombo vya habari.
0787440809
Mc!
Asante sana Mwana "jf"
Mimi si kwamba risiti sikupata risiti nilipata ila inaonesha kuwa nimechukua laki moja na si themanini kama ilivyo {kiasi nilicho pokea}
Asante sana kwa ushauri!
Mc!
Nashukuru sana Jomba,
Zingatia mambo yafuatayo: i} Hakuna usibitisho wa kimaandi juu ya mapungufu hayo. ii}Natarajia kwenda hapo siku ambayo naenda Hospital ilikuepuka gharama zisizo za lazima kwani nitakua nimepiga ndege wawili kwa jiwe moja Hospital na NBC je, wataniamini vipi kwa kigezo gani...
Uko sahihi kabisa, risti imeonesha kiasi sahihi pesa imetoka pungufu je, hiyo Jumatatu nitadai kwa kumbukumbu gani? Ila nakubaliana na wewe kuwa huu ni mchezo mchafu umeanzishwa na Bank hii ili chain iliyo jipanga inufaike hakika kuna Watu ambao si waaminifu wanahusika kwahili!
Mc!
So when your moods take a nose dive, don't do any thing just think! And wait! And of course fill your mind with prayer and postive thoughts. You will master your moods.
And it will make the difference between success and failure.
Believe Me!
Mc!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.