Habari wadau.
Wiki 2 zilizopita nilimpeleka mke wangu hospitali wilaya ya kilwa kujifungua, cha ajabu ni kuwa nilipewa orodha ndefu ya dawa za kununua maduka ya dawa yaliyopo nje karibu na hospitali. Miongoni mwa dawa hizo imo panadol, pia niliambiwa kununua hadi kiwembe, gloves, cordclamp...
Habari wadau, kwa habari nilizopata ni kuwa, chama cha mapinduzi kimeshinda viti vingi vya udiwani ktk uchaguzi uliofanyika jana maeneo mbalimbali ya nchi yetu.
Nauza simu tajwa hapo juu ambayo ni nyeupw na used. Ni single laini, mfuniko wake wa nyuma una crack kiasi. Ila iko vizuri na haichagui laini. Bei ni 120,000/= cash. Nicheki 0787-561703. Nipo dsm.
Unatakiwa ulishitaki shirika la bima.. Ukimshitaki mtu umeliwa.. Wafanyakazi wa kampuni wanalindwa na kitu kinaitwa veil of incorporation na mwenye uwezo wa kulift hiyo veil ni mahakama pekee...
Nasema hivi kwa kuwa nimekatwa karibu miezi tisa bila mkataba nao shirika la bima, sasa nataka kufungua kesi mahakamani, kisheria natakiwa nimshitaki branch manager wa mkoani kwangu aliyeprocess makato hayo au nimshitaki mtendaji mkuu wa bima? naomba msaada wenu mnaojua sheria.
Nahitaji Tv ya chogo inchi 21 used. Iwe nzima na haijapitia kwa fundi. Brand iwe philips, sony, hitachi, samsung au panasonic. Ofa yangu ni 80,000/=. Nicheki 0714-408238 ili tufanye biashara fasta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.