ok tufanye vyumba viwili viwe master,halafu viwili vingine self,choo public,kitchen,sitting room,dining,mpaka inafika hapo na gharama zako za ufundi jumla ni hiyo milion 42?ukisema ni zaidi maximum ni milioni ngapi?
tukielewana kuna kazi nataka nikupe
Hii ni minor operation tu,wala si complicated kama open heart surgery ile aliwahi kufanya Dr Masau.Kwa wenzetu hata mwanafunzi wa udaktari mwaka wa nne anaeza fanya.Masau was a talented cardiothoracic surgeon mkamfanyia figisu huku mkisema kuwa ethics zenu haziruhusu kujitangaza ,leo kwa hii...
Mzee wangu alinisimulia siku hizo walikuwa wanavaa makatambuka,unga foleni,waganga hospitali ni wale walimaliza darasa la saba wakaenda crash program,viwanda hawizalishi kukidhi mahitaji kwa mfano nguo mpaka wakaamua kuruhusu mitumba,darasa la saba hakuna kufaulu bali kuchaguliwa..ni mengi...
Hakuna povu hapa.Hii hoja ya kijinga,period.Nimetoa mifano hai ya hao watu wa arts/uchumi waliopata kuongoza hii nchi.Labda msaidie wewe kujibu.Wameifikisha wapi hii nchi kiuchumi na kimaendeleo?
Hoja ya kijinga hii.Tanzania tangia imepata uhuru mpaka 2015 ilikuwa ikiongozwa na watu wa arts/uchumi,wameifikisha wapi hii nchi kiuchumi na kimaendeleo?Magufuli hajamaliza hata mwaka,ushaanza maneno.
Waarab wala hata hawana muda wa kujua majina ya viongozi wa Tanzania,lakini mtanzania...
mkuu ondoa 'is' kwenye signature yako ili isomeke 'the future belongs to...au badala ya belongs andika is belong ili isomeke 'the future is belong to....kama nimekosea nisahihishe manake na mimi lugha ya kiingereza nilijifunza kuanzia darasa la tatu mpaka form four tu,kwenye shule za serikali!
sijui kama umeielewa sawasawa hoja yangu.naomba urudie kunisoma.charity begins at home mkuu,kama umeshindwa kutengeneza kwako na kuanza kutangatanga kwenye majumba ya watu,hata kwenye familia ndugu watakusimanga na watakubagua.Kama baba ni wa hovyo,mvivu,mzembe,ombaomba na haijali familia...
Waafrika wengi ubaguzi wanauona pale tu unapofanywa na caucasians au wa-asia kwa wa-afrika.Lakini muafrika akimbagua muafrika mwenzake au hata mzungu au muasia,ah ni poa tu.Hata hatuoni vile tunavyobaguana wenyewe kwa wenyewe.Tuukubali ukweli huu kwanza kabla hatujaanza kunyooshea vidole...
wewe dunya una haki gani unazozijua zaidi ya kuandamana ili sheria ikuruhusu kugawa tako?mbona hujibu maswali yangu,vipi mama yako mshono wake wa fistula umeshapona,au bado anajinyea kupitia njia ya mkojo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.