Taarifa ya television ya TBC saa saba imeonyesha wananchi wenye hasira mjini Babati walioamua kupasua mabomba ya Mamlaka ya Maji Safi na Taka BAWASA baada ya fujo za kupinga mkazi mmoja mwekezaji kuungiwa bomba fasta kifisadi wakati wao wanahenya na "wanawake wanazaa njiani wakihenyea maji."...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.