Wewe ni .pamne wa DP-WORLD hakuna mahali imetajwa huko kwenye andiko kuhusu DP-WORLD kuingia Dar Port kuwa ndio sababu ya wakenya kutaka kuongeza kina cha bandari ya Mombasa.
Pia unapaswa kutambua kwamba Kina cha Bandari ya Dar es Salaam ni jitihada za uwekezaji wa awamu ya Tano na sio...
Kwa hiyo wewe unfamiliar hayo maigizo ya wenye njaa na ujinga kuendelea kutumika na wajanja wachache wa CCM.?
Subirini 2025 mrapata majibu.
Nchi hii imekwama kutokana na ujinga wenu kuendelea kuishi mkiwa mmeshikiwa akili.
Leo ndio nimeujua upumbavu wako vizuri.@faizafox.
Sisi vijana wa zamani tulikuwa na kiswahili chetu miaka hiyo Malaya tulimuita Fox.
Kama unadiriki kumuita Baba wa Taifa "mjinga"mtu ambaye ameacha heshima yake,ikienziwa kote Duniani.
Huyu mama yenu anastahili kuitwa nani kwa anayoyafanya...
Kwa hali hii ni vema CCM ikapigwa kwa kutumia silaha zote zilizopo. Hivyo ni vema Lissu akaijulishe Dunia yale yaliyojificha ndani ya kilemba cha Bi mkubwa na serikali yake.
Ikiwemo DP-WORLD na Loliondo gate!
DP-WORLD
Fisadi ni yule anayetaka kuuza nchi yetu kwa Waarabu wa Dubai.
Anayekaa kimya bila kuchukua hatua stahiki dhidi ya ubadhirifu unaoendelea nchini.
Mama Abdul na kundi lake.
Hiyo imeenda!
Hapa Lissu anabugi kwa sababu Sisi kama taifa pamoja na wakulina.
Tuna control Quality na Content.
Sasa Lissu kabla ya kubwabwaja angetaja bei iliyoko Sokoni kwa sasa .
Pia angetaja bei ya Pamba inayonunuliwa kwa nchi za jirani yetu na hapo ndio angeweza kuwa mkweli.otherwise anajishushia...
Kwamba mwenyekiti wa kijiji anatumia ladi feki au?
Upofu wako ni wa hali ya juu na ninadhani wewe Dunia Tanzania unayoiishi ni tofauti na hii tunayoioshi sisi.
Hujui hali halisi ya kinachoendelea kwa sasa.
Deep world itageuka na kuwa Deep- CCM!
Muda ni shahidi mzuri sana.
Kuna maswali mengi kuliko majibu juu ya kinachoendelea kwa sasa hapa Tanzania.
Na sisi tumekaa kama tupo tupo tu.
Eeh mola tuokowe na haya masaibu.
Fanya jambo moja na Roho zetu zipone
Amen.
Nimeiangalia hiyo video vizuri na nimeshangaa kwamba je!
Ni Samia huyuhuyu au ni mwingine?
Anachokiongea kwenye hii clip mbele ya maaskofu ni tofauti kabisa na alichokiingea juzi kule Arusha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.