Kwa mujibu wa Meya Boniface Jacob:
“Nyumbani kwangu Wamevamia Askari wenye Uniform za JWTZ watatu na Mmoja wao Amevalia kiraia na ana Video Camera,wameiweka familia chini ya Ulinzi, Wanapekua kila Mahali Vyumbani, Bila mimi Mwenye nyumba, Polisi, Mjumbe kuwepo...Naelekea huko muda huu”
Ameandika
#Kenya imeingia mkataba wa TZS 129 bilioni na Kampuni ya Doppelmayr ya Austria kwa ajili ya ujenzi wa magari yanayotembea kwenye nyaya (cable cars). Ujenzi utaanza Mei mwaka huu na utakamilika 2020......
"""Kwa kweli nasikia uchungu sana
Wakenya wanaibua miradi sisi maneno meeeengi kuliko...
Diwani wa CUF anaetambulika kwa jina maarufu Selenge amejivua udiwani diwani huyo alikua hapo hapo Ruangwa mjini kata ya Nachingwea miongoni mwa kata mbili za huko mjini Ruangwa.
Ruangwa mjini kuna kata mbili na zote zilichukuliwa na CUF kata moja ipo wazi na sasa CUF amebakiwa na kata moja...
Moja ya video ikionesha wananchi wakilalamika juu ya kufungwa kwa bank ijulikanayo kwa Jina ka Meko bank iliyopo Meru...
Mimi bado ni kijana mdogo sana ningeomba wakubwa wangu munipe kumbukumbu kama haya mambo ya kufunga mabenk yalikuwepo huko nyuma na kama yaliwepo wateja walilipwa fedha zao...
Serikali ya magufuli inaendeshwa kwa mizuka.
Kauli ya Joseph mbilinyi a.k.a Sugu mbunge wa jamhuri ya muungano
Kabla ya kutubu hao t.r.a walikua wapi hapo mwanzo?
#Sadaka#hailipiwi#kodi.
Wadau wa soka wana kila sababu ya kuingia hofu juu ya utendaji wa shirikisho la soka nchini (TFF) lililo chini ya Wallace Karia na Michael Wambura.
Baadhi ya maamuzi yanayofanywa shirikisho hilo linalojinasibu kudhamiria kupeleka mbele soka la Tanzania yamekuwa na 'ukakasi'.
Kumekuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.