Search results

  1. M

    Mambo ya kwa Babu LOLIONDO

    Hii issue imekaa kiserikali zaidi nafikiri...inawezekana kuna mtu ameshachukua cha juu kuruhusu hayo malori yaende...ukitaka kujua nenda na lori yako kama haija kamatwa na hao polisi...na shida kubwa ni kuwa watu wanashida na tiba kwasasa hawataangalia usafiri gani
  2. M

    Mch. Mwasapile vs. Mch. Rwakatale

    Nafikiri aunt Judy uko vizuri sana kwenye dini!!!!!!!!!Lakin usiwe kama tomaso alitaka lazima aone makovu ndoa amin kuwa huyu ni bwana yesu...hii ni iman bwana ningumu kumbadilisha mtu.Na ukitaka kujua kuwa iman ni habari ingine ongea na mtu alieenda Loliondo na akashuhudia alichokipata
  3. M

    Lowassa au Mwandosya kuwa Rais wa Tanzania 2015?

    Hawa Jamaa wakimpitisha huyo jamaa 2015..c ndo wanapoteza mwelekeo kabisa??
  4. M

    Akigundua mwafrika ni uchamwi akigundua mzungu ni Sayansi!!!

    Cha kushangaza pia ni kuwa Babu wa loliondo hakuwalazimisha watu kwenda wala hakupiga mbiu kuwaambia watu waende...waliopona ndo wametoa ushuhuda,wacha kila mtu ajaribu kwenda...HAKUNA MTU ANALAZIMISHWA JAMANI:panda:
Back
Top Bottom