Jukwaa la kikristo Tanzania limetoa waraka kwa sisi waumini kuhusu mambo yanavyoendelea katika bunge la katiba na kwamba waumini wa kikristo na wote wenye mapenzi mema waikatae katiba itakayopatikana. Ushauri wangu kwa jukwaa uanze kuwatenga wakristo wote waliopo bunge la katiba na uamuzi huo...
Hawa wanatuzuga tu ili tuone kuwa nao ni sehemu yetu katika mapambano haya. Kwa vile wao ndo wenye serikali, sasa kama wao wanalalamika je CHADEMA, CUF, TLP,UDP etc wafanye nini? Wao walitakiwa kwenda hatua mbili mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.