Napendekeza mishahara na marupurupu ya wabunge viangaliwe upya kwani vinatengeneza tofauti kubwa kati ya wabunge na wananchi wanaowakilishwa. Usibishe. Tunawaona wabunge wanavyotesa mitaani: migari ya nguvu, hoteli wanazofikia, magari wanayowanunulia marafiki, na orodha inaendelea. Mbele ya...
"Alikwendaga" ni kosa la kisarufi lililozoeleka. Usahihi ni "alikuwa akienda". Huu ni wakati uliopita katika hali isiyodhihirika. Uulizapo "bei gani?", unapenda kufahamu inauzwa kwa kiasi gani cha fedha, na uulizapo "kiasi gani?", unapenda kufahamu ina ujazo au uzito gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.