mi jamani naomben kujua..sijawahi kumuona huyu lulu akirudia nguo alovaa hata mara moja..kule insta kilavsiku gauni jipya,nguo mpyaa,viatu vipya,mikobaa...chumba chake anachohifaddhia hivi vitu kikoje..hata kama ustaa kwan kurudia nguo ni dhambi?
kwann wadada wa bongo muvi au flva...
yap.hakuna akie mkamilifu kuanzia ndani hadi nje..binadam hatujakamiloka...na pia sio kila mtu kapewa vyote.
naomba nkushaur usichukulie kila kitu serious...tuko kwenye utani tu!
relax!!
msipende kutembea peke enu usiku...jitahidi basi muwe wawili watatu.ashukuru kama yupo hai.kuna mwenzie wa saut aliuliwa akachomwa moto kabisa hadi kufa ndo baadae wanafunz wenzie wakamrecognize ni mwanafunz mwenzao alikua anatoka bar kunywa na wananchi wakakiri walimfananisha na mwizi aliewah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.