Wasiliana na taasis ya amsha institute iliyopo kilwa, wanaweza kukuelekeza vizur pa kuzipata, pia taasis ya Naliendele mtwara...Amsha Institute wanapatikana twitter kwa jina hilo la amsha institute so wafollow
Hivi ushajiuliza kwanini huyu mtu nae akiwa na akili timamu ajenge sehem ambayo inapita reli?..wewe ungeweza kufanya hivyo? Inahitaji mjumbe au duwani au mbunge au wazir au rais akwambie kwamba haifai kujenga kwenye njia ya reli?...nini faida ya kua mtu mzima mwenye akili timamu kama mpaka...
waliodai au kutuhumu kua lowasa ni fisadi,ni chadema katika ile list of shame, so kama ccm wameshindwa kumpeleka mahakaman then ni wakat muafaka sasa cdm wakipata dola kupeleka mafisadi wote mahakaman akiwemo lowasa.Labda sasa cdm watuambie list ile ya mwembe yanga ilikua sio ya kweli
shahid anaweza kulazimishwa kufika mahakaman na ni jinai kukataa wito wa mahakama...nenda mahakaman na eleza hicho ulichoeleza hapa kua ndio unachokijua, usiseme tu uongo.
una kichwa kizito wewe mpaka kero,..hoja ipo hivi..."sukari feki" inasafirishwa na anayesimamia hilo ni CEO...hivi kweli katika hali ya kawaida na busara ya kawaida kweli angeenda yy mwenyewe?...sasa hili kulijibu kwake inategemea na mtoa jibu ana akili ya namna gani, akili ndogo kabisa ndio...
kwahiyo na ww una interest na Nipashe?!..acha mawazo rahis,..hajalaumu nipashe kwa kufungia kiwanda ila ameonesha uzush wa nipashe, aliyesema tpi hawakutengeneza dawa ila vifungashio vyao tu vilitumika ni wazir wa afya na amesemea bungen,.
kwa mfano akisema anafaham kua tpi waliwahi kuagiza sukar tani 15 huon kua muandishi atakua amesema uongo kuandika tani 100?..hiyo ndio point yake kwamba muandish alitakiwa kusema kiwango halis na kama alikua hakijui ingetosha kwake kuataja sukar tu bila kiwango, ila kwasbb ametumwa basi...
hajatumia nafas yake kwa maslah yake, ni hivi, kilichoandikwa na nipashe ni uzushi na uongo, alichokifanya madabida ni kusema ukweli na ukweli wenyewe nunasaidia taifa kujua kua baadh ya watendaji tfda wanaua viwanda vya ndan ambavyo vilikua vinasaidia upatikanaj wa dawa kwa maslah yao, kusema...
wewe sasa ndio unajichanganya maana kuitetea serekali maana yake ni kusema ukweli, tfda wanaua viwanda vya ndani ili wapate 10% kwenye uagizaji dawa nje ya nchi, huu ni ukweli na kuusema ni kusaidia serekali, au ww unadhan kusaidia serekali ni kusema uongo?
ingekua vizur ungeanza kwanza kuonyesha kua ARV zinatumia sukar kwenye utengenezaji wake ili uonyeshe kua unaaamin baada ya kuelewa lkn kama hujui kama sukar inatumika au la hukua na sababu ya kuuliza swali hili, hata hivyo ushajibiwa na mleta mada
ipo rahisi huyu ni mtanzania ana haki ya kuandika anachokijua si lazima awe na maslah yyt, kama anachokiandika ni kweli basi hakuna tatizo na maswali yako hayana mashiko...acha kufikiria kwa miwan ya bluu, iruhusu akili yako kufanya kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.