Katibu mwenezi UVCCM wilaya ya Longido ndani ya CDM, lazima jeshi lijijenge hata kwa kushirikisha maadui wanaokuwa tayari kutoa msaada wa kiiteligensia.
Ndugu, katika siasa hili la kuhama chama kimoja kwenda kingine ni jambo la kawaida. Hapa kwetu Tanzania ni kwa sababu tumeisha-label baadhi ya watu kuwa hawawezi tena kuwa watu wazuri ndani ya vyama vyetu, CCM wanajua sana kutumia hili jambo la kuhama (japo mara nyingi tunasema CCM imenunua mtu...
Jamani humu ndani, I mean JF huwa naamini kuwa watu wengi ni waelewa au ni wasomi au hata ni wadadisi wa mambo kidogo. Lakini kuna wakati nashindwa kuamini na hata kuwaelewa baadhi yetu humu lengo na nia la baadhi ya posts ni kitu gani. Hili swala la mbunge wa viti maalumu chama chochote cha...
Niliyoyafanya tangu niwe Mbunge-Shukrani kwa WanaJFWakuu habari!
Ni matumani yangu kuwa tumejiandaa kumaliza mwaka vizuri na kuplan vizuri for next year.
Tukiwa tunafunga mwaka nimeona niandike kwa kifupi yale niliyoyafanya kwa kipindi Cha mwaka mmoja tangu kuapishwa kuwa Mbunge wa Vitimaalum...
MMK jibu la swali lako Ndugai mwenyewe kakujibu cheki hapa: Mimi nakwambia kitu ambacho nakijua na wakati huo nilikuwa bungeni kama mbunge na Sumaye alikuwa akizipokea hizi posho, Rais (Ali Hassan) Mwinyi aliwahi kusema kila zama na kitabu chake, hebu na yeye (Sumaye) atuache na sisi tuandike...
Hili nalo neno, kuna kila aina ya ukweli kwa speculation yako, haingii akilini kuwa wakati watu wengine wanakimbia wengine wawe na ujasiri wa kuchukuwa pesa na nyaraka za wenzao, unless ni calculated move. Kama ni punguani kwanini aje kurusha mawe kwenye jengo hilo tu wakati yapo majengo ya aina...
Karibu sana! kusema ukweli hii siku ya wewe kujitokeza hadharani na kuzizungumzia tuhuma mbalimbali zinazokukabili nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana, kujitokeza kwenye mtandao huu ni ujasiri mkubwa sana, maana kuna kila aina ya mawazo na challenge nyingi mno. Nasema huu ni ujasiri ambao ni...
Ndugu
Kuna shairi lina kichwa Siafu wamechachamaa, lile shairi naona maudhui yake yanakaribia kuwa dhahiri nchini mwetu. Tatizo kuna watu bado wako usingizini. Lakini wapende wasipende siafu watawaamsha tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.