Ukweli ni huu
Sugu alikuwa ana kwenda kwenye kampeni kata ya Nshoho.. Wakati akipipita kwa bahati mbaya kwenye hiyo barabara kulikuwa na kampeni za Ccm kwenye kata vya Ghana, kwa bahat mbaya Ccm na Cdm hawakutumia busara ktk hili...
Cdm walikuwa na uwezo Wa kupita njia nyingine...
Lakini nao...
Salaam ndugu na jamaa zangu,
Ninayo furaha kuwajulisha kuwa nimepata watoto mapacha leo wa kike na wakiume.
Naombeni ushauri majina gani niwape yenye maana yanayoanzia na M.
Wakati fulani tutumie na akili zetu.Katika jiji la Mbeya lenye mitaa 181 hakuna mtaa unaitwa MPUGUSO...hizo picha kapiga Ushirika kilomita 90 toka Mbeya mjini na mnasema hizo ni Mbeya Mjini?WANA CCM MKOJE?
Huyo mnayemwita Kajuna.alianzisha ligi KAJUNA CUP.kwenye viwanja vya S/M Mbata ameshindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.