Umesahau jambo moja kuwa maana ya adhabu pia nikukomesha, kwaiyo mungu atahuadhibu ulimwengu ili haikomeshe na kuifuta dhambi, biblia inasema yesu anabisha mtu akifungua ataingia kwake, kumbe shida ni yetu atujafungua, suala la kuwa juu ya dhambi ni hiari ya mtu na ni kwa njia moja tu yakuokoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.