Wazima wote? Jaman kuna kipind cha tambuka kinaonyeshwa EATV kuna siku alionyeshwa mjasiliamal mmoja anafuga kuku wa kienyeji na anatengeneza machine ya kutotoresha kwa njia ya asil ni baba. Ambae ana mawasiliaono/namba zake za simu naomba anisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.