A newly established stationery at Malimbe (Saut) is looking for a young lady as an attendant.
Stationery ina mazingira mazuri ya kufanya kazi pamoja na vitendea kazi bora.
Sifa:
Awe msichana kati ya miaka 18-24
Awe anaishi jirani na Chuo kikuu SAUT (Umbali wa upanda dala dala moja tu)
Awe...
ANAHITAJIKA CONTRACTOR WA UMEME ALIYEIDHINISHWA NA TANESCO-ARUSHA.
MWENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI KWA UHARAKA NA UFANISI.
MWENYE UTAYARI WA KUFANYA MRADI KATI YA NGUZO MOJA HADI MBILI katika eneo la Moshono TENA KWA GHARAMA NAFUU.
KWA ALIYE TAYARI PIGA 078
n.b Kama kuna mdau mwenye taarifa za...
Tazama hiyo red, mtu haitaji degree ili kujua pale Chadema Square havikuwa vikundi tu, BALI MULTITUDE YA WATU. VUA MAGAMBA KWENYE MBONI ZA MACHO, INAWEZEKANA ZIMEKUKINGA USIONE VIZURI.
darasa la saba ana exposure gani? Acha kutetea mfumo usio kuwa na tija kisa mbona flani alifanya hivi. Yale yale ya posho za wabunge.............. oh mbona Tanapa wanalipwa sana hamsemi! Badilika.
Kuna adha ya upungufu wa MITA za luku pamoja na nguzo. Imekuwa ni kupokezana, mwaka jana taarifa ktka ofisi za Tanesco mita zilikuwa haba. Cha kushangaza mwaka umeanza, wateja wote wahaohitaji nguzo hawapatiwi huduma. Ni miezi sasa imepita. Tumechoka kusubiri................. Anza na hili.
wapo wengi waliokuwa wakila kwa mgongo wake! Si wote waliao msibani wanamlilia marehemu! Kuna kila dalili ulikuwa ukinufaika na matunda ya nafasi yake........................ Utaisoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.