[QUOaTE=Johnsecond;1665509]Dalili za mtindio wa ubongo hizo, ushauri wenyewe unao wa kumshauri mtu wewe kwa qualifications zipi ulizonazo?
Kwanza ndugu yangu faham na uzingatie sana, kama ndugu ye2 alivyoeleza kuwa kiongozi yeyote wa dini hafai kuongozesha taifa kwani ataleta utata ktk...
Ndugu yangu maelezo yako ni marefu sana kulingana na story nimesoma hadi nikahisi usingizi, lkn baadae nikamaliza kusoma, mimi niko Pemba Zanzibar, pokea ushauri kutoka zanzibar. Mtazamo wangu nikua, mwanamke wa mwanzo ndie uliempenda na akakukubalia kwadhati na wa pili amekupenda na ukamkubalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.