Bei ni elfu 25 tu kwa koti moja,mawili ni elfu 45.
Tunapatikana Makumbusho, Tunafanya delivery kokote ulipo.
Material ya kitambaa ni tetron laini inayong'aa, rahisi kufua na kupiga pasi.
0769509430 tukuletee kokote pale leo hii.
Bei ni elfu 25 tu,
Material ni polyester maarufu kama kitambaa cha Zanzibar ambacho ni rahisi kufua na kupasi (au kitambaa cha sukarisukari kinachoteleza).
Tupo Manzese Tiptop,DSM.
Delivery inafanyika popote pale.
0769509430.
OFA! OFA! YA LAB COAT [emoji91][emoji91]
Jipatie lab coat za high quality GRADE A kwa bei rahisi kabisa
[emoji117]Material zake ni ile inayong'aa na rahisi kufua.
[emoji117]Bei ni elfu 28 tu na elfu 55 tu ukinunua mawili.
Tunasafarisha kokote ulipo.
Tucheki kwa 0769509430.
Kuna mambo kama matano kwa mtazamo wangu ikiwa tutachukua hatua kubadilisha nadhani kila kitu kitabadilika kwenye nchi hii
(1)Mapinduzi katika Sekta ya Elimu
(a)Kubadilisha Mfumo wa Elimu.
Kutoka 7-4-2-3 kwenda 6-3-2(Miaka 6 primary 3 Sekondsri 2½ chuo cha ufundi stadi/taaluma) Tutatoa wasomi...
Tanzania tunahitaji kufanya mapinduzi makubwa katika sekta kadhaa ili kuiifikia nchi ya ahadi tunayoitamani.
Kuna mambo kama matano kwa mtazamo wangu ikiwa tutachukua hatua kubadilisha nadhani kila kitu kitabadilika
(1)Mapinduzi katika Sekta ya Elimu
(a)Kubadilisha Mfumo wa Elimu...
Kumaliza tatizo la ajira na kulialia ni lazima uwe mbunifu wa kutumia vyema nafasi na elimu uliyopata kuzalisha kwa namna tofauti.Ni rahisi kutumia ulichosomea kwa utofauti kwa kusoma at least FOUNDITION COURSE/FREE narudia FREE ONLINE SHORT COURSE YA AT LEAST 3 WEEKS MPAKA MIEZI MIWILI...
Tafiti zilizofanywa mwaka 2020 zinaonyesha uchumi wa nchi hautegemei tu jumla ya bidhaa na huduma zinazotolewa kwenye nchi kwa mwaka huo yaani 'Gross Domestic product' bali mfumo wa elimu pia unachangia.Uthibitisho huu unapatikana kwenye nchi zenye mfumo bora zaidi wa elimu duniani kama...
Ukiongelea haya mambo utajua ni utani,ila ukosefu wa hivi vitu ndio sababu namba 1 ya vifo vingi kwenye mkanyagano katika mikusanyiko na vifo kupitia magonjwa ya ghafla majumbani
[emoji117]Kwa bahati mbaya watu wanadhani hivi vitu anapaswa kujua muhudumu wa afya tu,watu wa huduma ya kwanza au...
Kuna jamaa wa FOREX alitamba sana kipindi cha nyuma, kama sikosei walimuita Ontario au jina lingine(naomba nikumbushe)
Alipata wafuasi sana,nataka kujua mwisho wao 2013-2015
-Kibanda kipo katika hali nzuri.
-Ni kikubwa mbali na Tigo na Mpesa unaweza kuuza bidhaa nyingine ndani kwa ukubwa wake.
-Chuma tupu juu kina bati.
Kinahamishika kirahisi na carry.
Kipo MWENGE MPAKANI DAR ES SALAAM.
BEI NI LAKI 6
-..hii haina kulipa kodi kila mwezi unakitega njiani au...
Kabati ni ndefu sana.
-Ni ya kisasa zile zisizokuwa na mlango,unaweza kudisplay chochote kuanzia mikoba,nguo na vitu vyako vidogo vidogo.
Ina droo kubwa mno ya kuhifadhia unachokipenda
-Ni ndefu sana zaidi ya futi 6 na ina partition zaidi ya 5.
-Halina hata mkwaruzo.
Lipo Mwananyamala karibu...
MFUMO WETU WA ELIMU NDIO CHANZO CHA UMASIKINI,UCHUMI MBOVU WA RAIA NA NCHI KIUJUMLA.
Swali hili nawajibu wale waliojiuliza kwanini tunatoa elimu za biashara na kijamii mitandaoni??
Tafiti zilizofanywa mwaka 2020 zinaonyesha uchumi wa nchi hautegemei tu jumla ya bidhaa na huduma zinazotolewa...
Huyo mnafiki mayalla mnampa mileage aliyokuwa anataka na si nyingine ni kuzungumziwa.Mnafiki sana huyu jamaa kuna kipindi alijifanya kumchallange magu kwa katiba mpya mara anamsifia shida yake uongozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.