Habari ndugu wana Jamii forum,
kwa maelezo zaidi unaweza kupiga simu katika kituo chetu cha huduma kwa wateja namba 100, au unaweza kututumia barua pepe helpdesk@tz.aitel.com ili tuweze kukuhudumia katika suula hili la mpango wa malipo wa robo shilingi kwa kupiga simu za Airtel kwenda Airtel...
Habari dugu,ndio mimi ni mfanyakazi wa Airtel naomba nikusaidie tafadhali kuhusiana na hili suala lililoletwa na mwana jamii mwenzetu,viwango vya kupiga simu Airtel kwenda kuanzia saa tano usiku 11pm mpaka saa kumi na mbili asubuhi 6am ni robo (1/4) shilingi.
Habari wana jamii forum,malipo ya kupiga simu za Airtel kwenda Airtel kuanzia saa tano usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi ni robo shilingi kwa sekunde,naomba kwa ambae anadhani alikatwa pesa zaidi anipatie namba yake na tarehe uliyopiga simu ili niweze kuangalia na kushugulikia suala lake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.