Kama ulichoandika ni kweli,kosa lako la kwanza ni kufuata kila anachotaka...hapo hujaoa,bali ww ndio umeolewa na kwanza huyo mwanamke hakutaki ww ndio umelazimisha ndoa,kifupi huna mke wala ndoa...amekutngenezea mazingira yote ya kukukataa lkn ww bado king'ang'anizi,iko siku atakwambia live...
Kwa asilimia kubwa huu uzi una uongo kwa asilimia 100,..hospital kuna kada tofauti hakuna madaktari peke yake,pale kuna levels za Medical attendant,Nurses,wataalam wa maabara,wataalamu wa Mionzi,Wataalam wa meno,Clinical officers, AMO, MD na madaktari bingwa,..mwanafunzi yoyote anayesoma kada ya...
Inawezekana uko under 30,wanaume mature ni above 30 na hawana muda wa kujadiri tabia za wanawake..hujadiri kuhusu mipango ya maisha ,uwekezaji,kusomesha n.k...suala la mwanamke kuchepuka halima mfanyakazi wala mama wa nyumbani,..hiyo ni tabia ya mtu,kama ilivyo sisi wanaume kuna ambao waaminifu...
Shetani hajawahi kua tajiri na hana anachomiliki,vyote ni mali ya Mungu...Mwanzo 1:1-28,..tatizo shetani ni baba wa uongo na hapo ndipo alipowashika wanadamu wasioelewa,hua anafanya ukweli kua uongo,...ukitaka kujua hili tafuta tajiri yoyote aliyepata utajiri kwa njia za kishirikina,uone mwisho...
Nafikiri hujafika hata 30yrs,bado mvulana,..ukivuka hiyo hatua utapata utulivu na utafanya maamuzi sahihi..mwengi tumepitia hiyo hali mpk tulipopevuka akili.
Kama kweli umeokoka na unajifunza NENO la Mungu,utakua unafahamu kosa lako,unless umekua jeuli..Mungu alipowaambia wana wa Israel wasiolewe na mataifa mengine,binti wala wana wa kiume je,unafahamu kwa nini?..Imani ni kitu chenye nguvu sana,liko kosa umefanya, tulia tengeneza na Mungu,oa ktk...
Mwanamke hachepuki kwa sababu ya tamaa,..mwanamke akichepuka tambua kisha hamisha upendo wote kwa huyo jamaa,hata akiambiwa akuwekee sumu yuko tayari...kuna unatafiti mmoja ulifanyika ukaonyesha kua,97% Mwanamke akichepuka anaweza muua mumewe kama ataambiwa afanye hivyo na mchepuko wake ili...
Kuna dada analea mtoto wake wa kiume,..aisee yule mtoto namuhurumia sana future yake na bora angekua wa kike,..toto linadekezwa hatari,ana miaka 4 sasa,anavunja vitu vya ndani mama anacheka tu,kila anachotaka mama anampa,siku moja nikampa ushauri kua anamuharibu,akasema mwanangu ni huyu huyu...
Hao walimu na mkuu wao wanashida...yaani mambo private unaenda sema kwa mkuu wako kwani angekataa kuna tatizo?je,wanaokubali wanaenda toa taarifa?..hao wachache wanafanya taaluma ya ualimu idhalaurike.
Kaa chini ongea naye,mwelimishe...mfundishe kufanya control ya mwili wake hasa vyakula,mnunulie mavazi lkn pia mikanda ya kubana tumbo,baada ya muda atakaa sawa.
Binafsi watumishi wengi wa kiroho nawakubali,hasa wenye misimamo thabiti ya kiroho...lkn mtumishi wangu pendwa ni MAREHEMU DR MOSES KULOLA..huyu mtumishi hua nasikiliza sana injili yake...pia mwenye mikanda ya mahubiri ya huyu mzee niko tayari kuinunua tuwasiliane,natunza kumbukumbu yaweze nisaidia.
Kua mentor wa mtumishi fulani sio kigezo,..watu hubadirika,anaweza anza vizuri akamaliza vibaya,..mfano mzee kulola amezaa watumishi wengi kiroho lkn wengine wamesha haribika,hawatembei kwenye ile misingi ya kwanza,kwa hiyo,mtumishi inabidi kila wakati awe makini na Roho Mtakatifu ili asitoke...
Mzee Kulola yule mpaka mapepo yalikua yanamtambua kua ni mtu wa Mungu,waulize wachawo nguli watakwambia kuhusu marehemu kulola...amemaliza kazi yake kwa ushindi mkubwa.
Jumamosi moja nilikua K/koo,ndani ya nusu saa umeme ulikata kama mara 3 hivi na ukikata system zinazima inabidi generator iwake na system zianze upya...kero tupu,sina hakika kama hizi kero hawa viongozi wetu wanazijua au la,...kwenye mwendo kasi nako ni balaa,watu wamerundikwa kama viroba,yaani...
Ndoa sio kabila,ndoa ni mtu,katika kila kabisa kuna walio wema na wabaya,..msingi wa mtu mwema ni malezi,mtu akilelewa vizuri uwezekano wa kua mtu mwema ni zaidi 80%,..kama alilelewa vibaya akakosa upendo uwezekano wa kua mtu mbaya ni mkubwa
Siamini wanawake wote wa Kiha wanatabia mbaya,...japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.