2003-2006 again 2007-2009
An amazing history n experience to be there...once n 4all everthing is remembered...
State house enzi hizo bora uingie Staff room...
Kuitwa na HB bora Kisusange aagize uonanenae...
Bogius Mwigunda superHB wa muda wangu aiseeee...
Jamaa alikua Talented God bless him...
Mange alishapost picha lkn watu hamkujua anamaanisha nn...
Angalia picha ilikua na coment 5 baada ya hl imefikisha maelfu...hapo ndipo usomi wake ulipotumika
Jamani...wangapi wanasoma afu professional zinawekwa sandukuni...
Kusoma ni kuutoa ujinga na kupanua mawazo...
Nahisi kusoma kumemsaidia kufanya anayofanya sasa...
Jiulize Tz walitakaga wamrudishe lkn kuna kitu wanashindiwa...hzo ni akili zake jmn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.