Mi ni pro-Israel lakini linapokuja suala la Azam Tv kuonyesha bango linalomsupport mpalestina sioni ukakasi wowote. Azam tv ni private enterprise, wanaweza kuonyesha chochote kinachojitokeza uwanjani hali mradi wana haki ya kurusha matangazo ya mpira uwanjani.
Usipende kukariri stori line ya upande mmoja unaoegemea. We umeegemea marekani na naona unabeba kila usemi unaotoka Washington.
Hivi wewe kwa akili yako mpalestina angekuwa wewe usingefanya kama kile alichokifanya Hamas? Hamas, Hezbollah, Iran wote wanawahesabu wayahudi waliopo Israel kama nchi...
Israeli ya sasa na ya biblia in utofauti gani? Hii ni sawa na kusema waafrika wa zama za kale ni tofauti na waafrika wa leo. Kila kabila humu duniani lime "evolve" kimwili, kiroho na kitabia kutokana mabadiliko mbalimbali yaliyoikumba dunia toka enzi na enzi hadi leo hii. Mwarabu wa enzi za...
Kwa vita kati ya wayahudi na maadui zao mara nyingi/zote huwa nakuwa upande wa myahudi (nataka myahudi ashinde) kwa sababu ninazozijua mimi, kubwa zaidi ni kwamba wayahudi ni wachache sana duniani ukilinganisha na mabilioni ya waarabu. Sasa ukiwaua dunia inakuwa imepoteza kabila moja la msingi...
Mt 20:25-28 SUV
Lakini Yesu akawaita, akasema, Mwajua ya kuwa wakuu wa Mataifa huwatawala kwa nguvu, na wakubwa wao huwatumikisha. Lakini haitakuwa hivyo kwenu; bali mtu ye yote anayetaka kuwa mkubwa kwenu, na awe mtumishi wenu; na mtu ye yote anayetaka kuwa wa kwanza kwenu na awe mtumwa wenu...
Tatizo linakuja kwamba mwanamke awe mke asiwe mke wote watatafuna hela za mwanaume. Mwanaume ameumbiwa kumwaga, tunamwaga wapi hilo linategemea mambo mengi ikiwemo muda, fursa na uwezo. Mwanamke emeumbiwa kupokea anapokea za nani wanajua wao. Mi nafikiri tusipangiane namna ya kuishi.
Japo under 40 wanajiona bado vijana na pengine wana fursa kibao mbele yao lakini at 40+ unakuwa katika nafasi ya kutengeneza fursa kwa wale walio chini yetu kiumri. Hizi umri hazipaswi kuwa vita, tunategemeana sana.
Well I am 41. I think naweza kusema kidogo. Kwanza, ni neema ya Mungu kwamba nimeweza kufika huu umri. Pili katika umri huu nimeweza kuwa na familia nikimaanisha mke na watoto. Tatu walau maisha ya kawaida ya kula na kunywa na kusomesha watoto shule zinazoitwa "english medium" hayasumbui. Nne...
Hapa mama kaanza kuwa yeye sasa. Rais Magufuli alikuwa akiongoza kwa kutumia vipaji vyake vya asili na ndio maana alikuwa kiongozi bora kabisa hii nchi iliwahi kupata. Kitendo cha mama kuanza ku"question" motives za wanasiasa zinaonyesha jinsi ambavyo ameanza kung'amua kuwa usipotumia common...
Mi ndoa yangu ina miaka 13 na tuna watoto wa nne, wa mwisho ndo ananyonya now. Wife wangu nampenda balaa... but nilimsaliti mara kadhaa hata tukiwa bado wachumba na kwa ndoa nshachepuka mara kadhaa pia.
Nikubaliane na wewe, siku akinifuma laivu nachepuka am sure ataua. Hizi ndoa zimesimama...
Hivi wewe umeolewa kweli? Kama umeolewa are u saying hujawahi salitiwa na mme wako? Mi ni me na naeza kukwambia kati ya me kumi waliooa wa umri from 30-50 mmoja tu ndo hachepuki. Ni kweli kusalitiwa kunauma lakini sioni kama kuchomoka kwa ndoa ndo ufumbuzi wa hili jambo.
Sema kuna kuchepuka na...
Well, hakuna shida kuwa single. Kwenye dini kuna mapadre, masister, n.k....
Ninavyoelewa lengo la ndoa ni ushirikano (partnership) na kukidhiana madhaifu (complementation). Kama unaweza kujikamilisha kwa mambo yote basi si lazima ndoa. Usisahau na kampani ya uzeeni pia.
Stori angu ipo hivi.
Kwa asili sikujaaliwa kuwa na mwili lakini Mungu alinijaalia uwezo wa darasani. So nimemaliza six meenda zangu Dar kutafuta maisha nikakutana na huyu dem bonge bonge hivi jirani na sehemu nilipofikia. Yule dem alikuwa bff na ndugu yangu sister kwa ndugu zangu nilipofikia. Mi...
Hao wazawa walioko bandarini kwa sasa hawaifisadi nchi? Kubali tu kwamba concept ya uzawa na uzalendo kwa mtu mweusi haina maana tena kwa sasa. Kwa sasa ni mtu yeyote mwenye uwezo wa kudeliver in a win win situation ndie atakayetafutwa. Mliiuza nchi na viwanda vyake leo hii hadi matoroli...
Watu wenyewe hawa hawa wanaoitwa wazawa hawajui kuendesha vitu vyao. Watu hao hao akija mwarabu makelele kama yote. I don't care what color of the skin at the helm, ninachotaka kuona ni efficiency, effectiveness na impact. Tumefeli sisi tujaribu wengine.
Kuna namna CCM wanavyoendesha mambo yao na kuna namna wapinzani wanavyoendesha mambo yao, na utofauti huo unanonesha waziwazi jinsi ambavyo CCM itaitawala hii nchi hadi Yesu atakaporudi. Seriously, hivi watu wa Ulaya ndio watakaopiga kura come 2025? Katika mitaa hii ninayoishi nimewaona UVCCM...
Sometimes watanzania wakati mwingine tuwe tunajua tunachokitaka na pia kukisimamia. Hivi hizi bandari zetu chini ya usimamizi wa wazawa nini kinafanyika kama si kula na kuvimbewa, sisi watoto wetu na vimada wetu? Tunapotaka hizi bandari zisimamiwe kwa uwazi ili ubadhirifu na upigaji wa kijinga...
Aisee skills zinazohitajika ili mtu aweze kupenya kwenye siasa za Tanzania ni tofauti sana na skills zinazotakiwa ili mtu akubalike kwenye nchi zote zilizoendelea. Na inashangaza sana kwamba wanasiasa wanadanganyika kirahisi sana na siasa za uchawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.