hata mimi nashauri tumfuate huh=kohuko juu tukimngojea chini atatumaliza uvumilivu naona umeisha kilichobaki maamuzi tu kwani situnawaona wenzetu wa misri
Naona hawa wote tuwapeleke huko gogngo la mboto nawao walipuliwe kwani hawanamatumizi au manufaa kwetu
vitendo yao kwetu ni sawa na hiyo miilipuko na hakuna tofauti wanataka kutumaliza
Huyu jamaa naona atakua kapewa kitu kidogo wakwend chekechea ni wewe na hao wezio wasi wajibika mana naona akili zenu zinafanana na c wazima kabisa
kinachotakiwa kwa watu kama wewe ni kuadhibiwa tu ili iwe mfano kwa watu kama wewe kujifunza
huyu binadamu asituzoee tukimchunguza nimmoja kati ya...
Pole kwa kukatizwa safari
hayo nimatokeo ya uongozi mbaya wa kikwete
huku kilimanjaro ndge zimepaki hazina pakwennda iliyokuja jana uck kutokea ams jro dar imeshindwa na abiria wote wako hotelini
huu upuuzi wa serikali yetu utaisha lini?
kama hawakujifunza kutokana na mbagala ni wazi kwamba wameamua kuwatoa wananchi kafara kama nihivyo basi tuanze na mafisadi wote waliouhujumu uchumi wa nchi ikiwemo DOWANS RICHMONDS; na wngine wanaofanana nahao
Iweje mabomu yame expire na bado yako kambini niwazi kuwa wote waliok kazini hawajui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.