Mkuu Kashishi yetu;
Nakubaliana na wewe mia kwa mia. Sioni sababu ya tofauti hioi.
Mkitaka Kura Niwape Ni Hadi Hapo MTAKAPOWEKA USAWA KATIKA MISHAHARA YA WAALIMU TULIPWE SAWA NA DAKTARI, MWAL WA DIGRII ALIPWE SAWA NA DAKTARI MWENYE DIGRII.HVY HVY KWA DIPLOMA.SASA HV MWAL MWENYE DIGRII...
Kuna jamaa yangu yuko Sikonge alinieleze siku nyingi kabla ya kura za maoni CDM na kabla Nkumba hajahamia CHADEMA kuwa Nkumba hawamtaki wanamtaka kijana mmoja jina nimelisahau. Na ni kweli wananchi wamekuja juu kuletewa Nkumba. Pia amenieleza Nkumba amekatwa na kurudishwa huyo kijana. Hii ni kwa...
Mkuu punaine-red. hapo kwenye red hata mimi naona ndio penye tatizo kwa Barca. Ukiangalia goli la pili la Ronaldo siku walipocheza na RM Ronald aliweza kufunga kwa sababu aliwazidi mbio mabeki wa Barca. Na sio kwamba Barca walizembea ku overcome counter attacks za RM.
Now, Kikwete akipenda just to outplay everybody atatangaza tu kuvunja baraza na akaunda baraza jipya chini ya PInda huyo huyo. Halafu itabidi ipigwe kura ya kumkubali kama waziri mkuu (namna nyingine ya kuwalazimisha watu kupiga kura ya kuwa na imani naye au la).. It is a war, na vita...
Bado uko usingizini. Ungekuwa macho ungejua kuwa kata ya Kiwira na Songea mjini vilivyokuwa chini ya madiwani wa CCM sasa viko chini ya madiwani wa CDM. Huko nako kaskazini? Single ya ukaskazini wenzio wamekwisha ichoka.
Mkuu Komeo uko sahihi. Angalia maneno ya Alphonce Mawazo.
"Nataka kusema kuwa hakuna kiongozi hata mmoja ndani ya CCM ambaye ana dhamira ya kweli ya kuwasaidia Watanzania na badala yake viongozi wengi wamekuwa wakijinufaisha wenyewe" Alphonce Mawazo, Diwani aliye achia ngazi Arusha.
Safi sana Mr. Kibulala. Nina imani mtafanikiwa. Nashauri wasiliana na viongozi wa CDM ngazi zote hata kwa email au barua pia, ingawa humu JF huwa wanapitia.
Mkuu Kimbunga ni kweli inaweza kuwa silaha ya mwisho lakini aliyoyasema Igunga kwamba daraja litajengwa ktk miezi mitatu baada ya uchaguzi imani kwake imepungua kama si kutoweka kabisa. Na ukichanganya na masuala ya nyumba za serikali ndio kabsaaaa. Keshaingia kwenye longolongo ataendelea hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.